Wednesday, April 23, 2014

FAIDA YA TENDO LA NDOA KI AFYA





Tendo la ndoa ni moja kati ya mazoezi ya mwili.
Wataalamu wanasema kwamba unapofanya tendo hilo mara tatu kwa wiki husaidia kupunguza kiasi cha mafuta mwilini pia endapo mtu atafanya tendo mara tatu kwa wiki kwa kipindi cha mwaka mzima ni sawa na kukimbia maili 75.


  • Tendo la ndoa huongeza takriban vizalisha nguvu 150 kwa nusu saa ambayo ni sawa na kukimbia dakika 15 kiwanjani.  Kuongeza mwendo wa damu.
  • Tendo la ndoa husaidia kuongeza kasi ya mtiririko wa damu kwenye ubongo na sehemu nyingine ya viungo vya mwili. hii huchangia kuongeza kasi ya mapigo ya moyo na kuboresha mfumo wa upumuaji
  • Msukumo thabiti wa damu mpya yenye oxygen na homoni zenye chembe hai zinapopenya kwenye mishipa ya damu husaidia katika uunguzaji wa chakula, pia huondoa kiasi cha uchafu ambao ungesababisha mishipa na kushindwa kufanya kazi na kumfanya mwanadamu apate maumivu ya mwili.
  • Hupunguza maumivu wakati wa kufanya mapenzi, homoni iitwayo oxytosin huzalishwa mwilini ambayo husababisha kuzalishwa kwa homoni iitwayo endorphin ambazo hupunguza maumivu kama vile kuvimba sehemu  ya viungo [arthritis]  maumivu ya shingo [Whiplash]  na maumivu ya kichwa
  • Ulinzi wa tezi ya kibofu [mwanaume] Majimaji yanayozalishwa katika tezi ya kibofu [prostate] yakizidi husababisha kuleta matatizo mwilini.
  • Tendo la ndoa la mpangilio huondoa uzalishaji wa maji maji hayo yenye madhara.
  • Mabadiliko ya ghafla ya tendo la ndoa huelekea kuleta matatizo yahusianayo na tezi ya prostate.
  • Hupunguza mfadhaiko wa moyo.
  • Kujitosheleza na kupumzisha mwili baada ya tendo la ndoa ni muhimu kwa kutuliza akili na kurekebisha mzunguko wa damu mwilini.
  • Wale wenye kushiriki tendo la ndoa wanatajwa kushinda mfadhaiko na kupata usingizi mnono hasa mara baada ya kumaliza kufanya mapenzi.
  • Huongeza uzalishaji wa homoni za kiume [testosterone] na za kike [Oestogen]
  • Faida nyingine inayopatikana kuongeza uzalishaji wa homoni za kiume na za kike likiwemo suala zima la msukumo wa kufanya tendo hilo ambapo mhusika hutosheka zaidi ya yule ambaye hana mazoea ya kufanya mapenzi.
  • Hata hivyo baadhi ya madaktari wamegundua kwamba ongezeko la homoni za kiume/kike huweza kuwakinga wanadamu na magonjwa ya moyo.
  • Kuishi muda mrefu huku ukionekana kijana wakati wa tendo la ndoa homoni iitwayo DHEA huzalishwa mwili mzima.  Hii husaidia msisimko wa mapenzi kuongezeka.  Kutokana na elimu hiyo DHEA ni kemikali  yenye nguvu duniani ambayo husaidia kuweka sawa kinga ya mwili, huongeza ufahamu, kuimarisha mifupa, kutengeneza na kuimarisha afya na kuimarisha mishipa ya moyo [Cardiovascular].
  • Hupunguza baridi na mafua
  • Elimu inaonesha kuwa wanaofanya tendo la ndoa mara moja au mbili kwa wiki huongeza 30% ya uzalishaji wa chembe hai za mwili ziitwazo Immunogloulin mwili dhidi ya magonjwa.

Hizo ni faida chache tu za kufanya tendo la ndoa.
Jambo la kuzingatia ni kuwa faida hizi hupatikana kwa ufanyaji wa mapenzi katika njia sahihi tena usioukuwa na hofu ya kufumaniwa au kuumbuliwa.  Ina maana kwa wenye ndoa zao tuu.

Friday, April 4, 2014

Kaoa wakati naye kaolewa 2

............. inaendelea


Basi maisha yakaendelea yule rafiki yake akawa ananipenda ananijali akija lazima aniletee zawadi, nikanunuliwa zawadi za mtoto mi meno nje.  Lakini mambo yao ni yale yale ya kujifungia chumba cha pili, tena sasa wakawa wanafunga na funguo, mi naona sawa tuu.

Ikafikia nikajifungua mtoto wa kiume wakwe zangu wakanichukua nikapumzike kwao kwa muda kama wa mwezi mmoja baada ya arobaini nikamwambia mume wangu nirudi kwangu akakataa akadai ningoje nyumba yetu iishe ili mtoto wetu afungue nyumba, sikuwa na neno.

Siku moja nikaona bora niende mara moja nikachukue nguo za kubadili maana mwili umerudi katika hali ya kawaida hivyo madira tena yamenichosha, nikaenda mtoto nikamwacha kufika nyumbani nasikia dirishani sauti ya mihemo ya mahaba sauti nzito mmh nikasogea kusikiliza vizuri nasikia ni mume wangu jamani dada nilitamani kuzimia maana nilijua kaingiza mwanamke mwingine ndani.

                                  

nikajishauri niingie kwa mlango wa uani ili nikaufunge nikianza ugomvi huyo mwanamke akose pa kupitia.
Nikaingia ndani kuangalia viatu vyote vya kiume sauti ya mahaba, i love you nyingi analia kama mtoto wee dada dunia ina mambo.




Nikasukuma mlango ulikuwa wazi nikakuta mume wangu kainamishwa analiwa kiboga anakatika huyo nilizubaa kama nimepigwa shoti, yeye hakuniona ila rafiki yake aliniona akanionyesha ishara nitoke nje, niligeuka bila kusema neno nikakaa sebuleni nasikia mume wangu anamwambia rafiki yake ahsante mume wangu, nikazimia.

Kuja zinduka nipo hospitali, ndugu na wakwe zangu wapo hapo, wananiuliza kulikoni machozi yananitoka, akadakia yule rafiki wa mume wangu kuwa nilipoenda nyumbani niliona nyoka nikapiga kelele nikaanguka bahati nzuri walikuwepo wakampiga yule nyoka na kumuua.

Nikatoa macho kama nimeibiwa nauli wakaniuliza ni kweli nikaitika kwa kichwa kukubali machozi yanazidi kunitoka basi baadae nikaruhusiwa mume wangu akanichukua kunirudisha nyumbani kwangu akidai anataka kuwa karibu nami.

Kufika nyumbani mume wangu akaniambia ni kweli yule ni mumewe , kipindi cha nyuma aliwahi kwenda uaya kwa njia za panya sasa kufika huko huyo rafiki alikuwa huko akamsaidia sana mpaka akapata uraia, hadi kufikia kuwa wapenzi wakaoana. 

aliporudi Tanzania baba yake alishasikia kuwa ana mahusiano ya jinsia moja yeye akakataa ndipo wakashauriana na huyo mumewe kuwa aoe ili kutuliza hasira ya wazazi, na ndio maana alihamaki alipoona nimebeba mimba lakini rafiki yake alimpeleka hospital kupimwa akaonekana ana uwezo wa kuzaa.

Sasa ananiomba sana nisimwache atakosa radhi ya wazazi, na pia hawezi kumuacha huyo mumewe kwani ndio anatuweka hapa mjini, ameniandikia nyumba gari mbili na huyo mumewe anafanya mpango wa safari twende wote ulaya maana wanaona hapa ninaweza toa siri.




Nishauri dada nimekonda sana silali kila akija mumewe wakijifungia tu mie machozi yananitoka mwanangu ana miezi sita tu  jamani nifanyeje waungwana mnaosoma humu naomba ushauri wenu.

Jamani anaomba ushauri mi kwangu network loading ...................????????????

Sijawahi kusikia haya Mungu wangu.




Thursday, April 3, 2014

kaoa wakati naye kaolewa

Ahsante dada kwa kutupa fursa hii ya kutoa ya moyoni,

Kwanza nampa pole huyo dada akaze moyo Mungu atamsaidia,

Mi yangu makubwa zaidi dada



Mi nina miaka 25, baada ya kumaliza form four, nikapata bahati ya kupata mchumba pande la mwanaume, mzuri, mtanashati yaani dada ukimwona utasema kweli, nami hata sikujivunga nikakubali haraka haraka, kazi alisema ye ni mfanya biashara.

Basi maandalizi yakafanywa binti nikafundwa nikafundika maandalizi ya kwenda kumuhendo mume wangu.
ndoa ikafungwa kwa fahari jamani tulipendeza wenyewe nikikumbuka nalia kama mtoto.

Basi tulienda honeymoon siku ya kwanza tukalal akadai ana presha ya ndoa kesho yake asubuhi ndio tukafanya tendo la ndoa.

wakati tunafanya akawa ananiambia nimpapase kwenye makalio basi nikimshika anasisimkwa na kuniambia kazana nikifanya hivyo yeye ndio anapata speed  mpaka tukamaliza.

Ukweli dada lile jambo lilinishangaza sana mpaka likaninyima raha kwani sikuolewa na bikra hivyo mapenzi nilikuta nishaanza pia hata kwenye mafunzo sikusikia kitu hiki.
Basi ikawa ndio mapenzi yetu kama treni ya kizamani mpaka uchochee kuni ndio liongeze mwendo.

Nikaenda uliza wakubwa nyumbani wakaniambia haina neno ndio mambo ya digital hayo mumeo  kazoea mambo ya kizungu, basi maisha yakaendelea. 

Sasa kitu kingine alikuwa anaaga anasafiri lakini sehemu anayokwenda ukimuagiza kitu cha huko harudi nacho madai yake ye mvivu wa kubeba mizigo, nikitaka out ananitafutia rafiki yake niende naye yeye anadai hapendi mambo ya kutoka toka basi mi natoka narudi namkuta amelala au anaangalia tv.

Baada ya miezi minne nikashika uja uzito heee wacha alete maneno anadai sio wake nimueleze niliko upata, nikamueleza yeye ndie mume wangu sasa aanipe nani mwingine, mwishowe akaniomba nimsamehe alikuwa anataka uhakika kama yake kweli.

Sasa alikuwa na rafiki yake huyo ana pesa sana na hata ikitokea shida nyumbani basi akimpigia hata usiku wa manane anatuma.  Kila mara anakuja nyumbani na huwa wanaingia chumba cha pili na kuniambia nisiingie huko wenyewe wanapanga mambo yao ya biashara.



Siku moja alikuja rafiki yake huyo wakaingia chumbani kama kawaida mume wangu akasahau simu ikaita 
nikampelekea ile nafungua mlango nikakuta wamekubatiana nikatoka mbio mume wangu akanifuata na kuniambia walikuwa wanapongezana wamepata mafanikio kwenye biashara, baadae rafiki naye akatoka akanipa dollar 1000 akanikumbatia na kuniambia nina kismeti cha biashara sana wamepata mafanikio sana tangu nilivyo olewa nikachekelea mwenyewe kumbe dada wewe mmh

itaendelea......................


Wednesday, April 2, 2014

mapenzi ya tigo ni unyama

..............inaendelea


dude lote hili unalikandamiza kwa mtoto wa mwanaume mwenzio tena njia isiyofaa huna haya


Basi dada nikawa sina raha hata nikikaa mbele za watu inabidi nijibane sana maana nikikaa vibaya tu mashuzi yananitoka pia nilipokaa lazima niloweshe.

Baada ya kuniona hivyo akaanza kunikwepa, akawa anakuja kwa mwezi mara moja anasingizia safari sometime anamtuma dereva aniletee pesa ya chakula au kuja lipa bill basi.

Mi huku nyuma nikawa naumia nikienda haja kubwa, nikaamua kwenda hospital doctor aliponiangalia akakuta ndani kuna vidonda vikubwa  basi akaniambia huyu aliyenifanyia kitendo hiki alitumia nguvu pia hakutumia vilainisho au ana dushelele kubwa kiasi alinichana wakati ailazimisha kuingia.  
pia nina maambukizi ya virus vya ukimwi, ukweli nililia sana nikaona kama dunia imesimama,
nikapewa ushauri nasaha na kuanza clinic ya wenye virus vya ukimwi na kuhusu huku nyuma 
nikafanyiwa matibabu nikaambiwa niache huo mchezo kwani sehemu ya tundu imeharibika vibaya sana.

Nikaja mwambia nilivyoambiwa na doctor hakunijibu alinyamaza kimya, asubuhi yake akagiza dreva aje achukue gari inaenda service, jioni akaja na kuniambia bora nikaugulie nyumbani kwani pale sina mtu wa kuniangalia akanipeleka mwenyewe, baada ya siku mbili nikaletewa vitu vyangu vyote na kuniambia nitakuwa simfai kwani furaha yake ni tigo sasa kwa kuwa siwezi kutoa tigo tena basi akanipa 50,000/- na kunitakia maisha mema.
 Dada hiyo ndio story yangu nimeitoa makusudi wasichana wanaokurupuka kuona mabwana wenye pesa ndio watawabadilisha kimaisha kuna manyanyaso na madhara ,makubwa sana.

Hii ndio story niliyoletewa na mdau wangu huyu inasikitisha jamani




nyie wanaume nyie hasa wenye pesa zenu ina maana mmeamua kaabisa kuifanya dunia ndio pepo yenu nashindwa hata la kusema maneno yanaishia rohoni.

Naamini ukweli kabisa wanawake wengi sana huanza kutumiwa tigo kwa kulazimishwa.  Tena waume wengine huwafanyia wake zao mchezo huu jamani, akikataa tu anamwanzishia visa mpaka ataiona ndoa chungu.

We ukimuona mpenzi/mumeo kila unavyojitahidi kitandani mwenzio hata kuguna macho makavu bao moja la kutafuta, ulikuwa unajiliza i love u zinakutoka mpaka unabaki unaguna, mikao yote umemaliza wala hasisimkwi hapo mwenzio keshaonja njia ya mavi.
au kutwa anakupapasa makalio, ukimpa staili ya mbuzi kagoma kwenda unamuona anachangamka kama katiwa funguo  kwa kuona kinyeo basi ujue keshaanza huo mchezo.

Wengine utaona akizama chumvini anazama mpaka kwenye tigo anatumbukiza ulimi madai yake mapenzi hayana kinyaa au kila akitumbikiza dushelele anajifanya anakosea njia dakika katoa anakosea tena pa kupeleka anapeleka tigo huo ndio mwanzo mkimbie huyo hata kama anakupa milioni haina thamani kwako.


Msiwaone baadhi ya wadada mjini wana magari wanaishi kifahari  ukawatamani yaliyo ndani ya vifua vyao wakikufunulia utaona bora dagaa lako unalila kwa amani.

Vitabu vya Mungu vimelaani jambo hili, miji ya Sodoma na Gomola  iliangamizwa kwa vitofari vya moto miji hiyo mpaka leo hata majani hayaoti, Mungu anatuonyesha jinsi gani analichukia jambo hili.

Kwanza katika viumbe wote duniani wanaotumia mapenzi haya ya kinyume na maumbile ni nguruwe na binadamu sasa wewe unaetumia njia hii ina maana akili zako zinafanana na nguruwe?



Tafadhali ukiwa na story yako ya mapenzi niletee iwe ya kweli nitaitoa hapa kwani ni funzo kwa wengine

Ok kama unalo la kumshauri huyu dada tafadhali niandikie kwenye MAONI.USHAURI  au comment hapo chini.


Tuesday, April 1, 2014

Mapenzi kinyume na maumbile ni hatari

Sijui ni laana au ndio kumkataa Mungu makusudi 

Msione naanza hivi jamani nina hasira baada ya mdau wangu kunipa kisa hiki:-


Dada Johari 
Mimi ni mwanamke mwenye miaka 28, mkazi wa hapa dar, sijaolewa na sijapata mtoto.  Nimelelewa na mama bahati mbaya baba yangu alifariki mi nikiwa nina miaka 9, kiasi ilichangia hata masomo  niishie form four.

Nilipata mwanaume mwenye hela zake na ana cheo kikubwa tu, basi nikafurahi nikaona nimepata bahati kubwa sana, na kwakuwa maisha ya kwetu  yalikuwa ya chini kiasi hamjui kesho mtakula nini.

Basi baada ya kuduu mara mbili akaniomba anipangie chumba basi nikamwambia ngoja nikamwambie mama.  Mama alikubali kwani kwa muda mfupi niliokuwa nae kiasi alichokuwa ananipa kilisaidia sana maisha yetu.
Basi akanipangia upande appartment Mikocheni  nikaona mwanaume si ndio huyu.  Baada ya mwezi akaanza kuwa ananitia vidole nyuma au akizama chumvini mpaka na kwenye tigo anatumbukiza mi naona ndio mapenzi na vile nilikuwa nasikia raha ndio kabisaa.

Tahamaki siku hiyo nikaona dushelele analiweka kwenye tigo, nikashtuka akaniambia pole pole nikawa naumia ananiambia kichwa tu baby, ukweli niliumia sana baada ya hapo machozi yananitoka nikamuuliza kwanini kanitendea vile akaniambia mbona yeye ananiridhisha kwa kila ninachokitaka sasa mimi nashindwaje kumpa anachokitaka, kama nampenda kweli basi kila siku nimpe tigo ndio furaha yake.

Nikamuuliza kama sitaki jee akaniambia niondoke home maana nitakuwa sina fadhila,  Basi nikamwambia naomba niondoke nyumbani akasema kama hivyo nimlipe gharama zake zote, laa sivyo atanifungulia kesi na atahakikisha mpaka nyumba yetu inauzwa.  Nikawa mdogo kuliko sisimizi, furaha yote ikayeyuka nikamwona kama ziraili, kesho yake akaniletea gari aina ya Noah akanitafutia mwalimu wa kunifundisha, nyumbani nako akawa anapeleka matumizi mdogo wangu wa mwisho akamtafutia shule ya sekondari boarding Kenya.  

Familia nzima ikamwona mfadhili mwema kabisa kumbe mwenzao nateketea.  Baada ya mwaka mmoja nikaanza kuvuja maji kwenye tigo nikawa navaa pedi bila kuwa kwenye siku zangu yaani we dada acha tuu.

itaendelea .................


Hajamaliza kisa chake tuendelee kesho panapo majaliwa

Wednesday, March 26, 2014

FURAHA YA NDOA

Furaha ya  ndoa hainunuliwi dukani, haitafutwi kama pesa wala haichimbwi kama madini.

Basi tunaipata wapi furaha ya ndoa?
kufunga ndoa ni jambo moja lakini furaha ya ndoa ni jambo lingine hivyo usitegemee ile furaha ya siku ya ndoa itakuwa milele.
 Furaha ya ndoa mtaitengeneza  wenyewe mume na mke ndani ya nyumba kwa:-

  • kudumisha mahaba kwa kila mmoja wenu kila siku ajitahidi kuongeza vionjo.
  • kuvumiliana kwa kutambua kuwa kila mmoja weenu ana tabia ambayo mwenzie haipendi ila anavumilia.
  • kusameheana kwa makosa madogo madogo kwa kujua kuwa nyie ni binaadamu hamjakamilika hivyo unasamehe na kufuta kwenye akili kama kilitokea nini.
  • jaribu kumfanya mwenzio ni mpya hata kama mmeishi miaka mingapi.
  • tengeneza furaha ya mwenzio kabla yeye hajatengeneza ya kwako ina maana mpendelee mwenzio kwa kumfanyia vitu anavyo vipenda kabla ya kudai kufanyiwa wewe.
  • wazazi, ndugu na jamaa hawana nafasi ndani ya mapenzi yenu wao ni washauri tuu pindi yakiwashinda kutatua nyie wawili.
  • Watoto wasiwe nguzo ya mapenzi yenu mkaishi eti kwa sababu mmezaa mnatakiwa kuishi kwa mapenzi na sio kwa kizazi
  • kauli njema ni kitu muhimu sana kinachodumisha furaha ndani hata kama kuna hitilafu kiasi gani hupozwa na kauli njema ya kila mmoja wenu
  • thamani ya kila mmoja wenu inahitajika kwani dharau ni moja ya vitu vinavyobomoa mapenzi mpaka mkaishi kama maadui wakati mlikuwa wapenzi.
Mkidumisha hayo mtaionja pepo duniani kabla ya kufa 


N.B   Jamani mwenzenu najitolea kutoa elimu hii si kwa sababu najua sana au ni mfanyaji sana wa haya mambo mi ni mtu mzima na heshima zangu kamili.  Sasa baadhi yenu comment mnazoniletea nyingi hazina maadili, wengine mnatongoza, wengine mnauliza maswali hayana msingi, hii sio blog ya kikubwa ndio maana natumia tafsida kuongea baadhi ya vitu humu, hivyo nikaona bora nisirushe comment zenu nazisoma na kuzifanyia kazi.
Kwa wale mliouliza kwanini sirushi comment zenu jibu ndio hili endeleeni tuu kuelimika mpaka nitakapoona mmetumia lugha nzuri.

Friday, March 14, 2014

JOKA LIBWELELE NALO MMH

Leo tuangalie jinsi gani ya kukabili maumbile ya mwenzio.


Kimaumbile kila mtu kaumbwa kivyake na hakuna mtu anayefanana na mwenzie lazima kuna tofauti fulani.

Sasa wengi humpenda mtu kabla ya kumjua maumbile yake hasa wanawake huwa tunakutana na surprise nyingi sana.

Humuita  mpenzi kabla ya penzi wengine hupanga hata kuoana, ahadi kem kem, kutwa simu, chatting kila wakati, I love you nyingi sana, hajajua maumbile yake anakisia tuu.

Siku inafika wanapanga kwenda banjua amri ya sita, ndio hapo utamu wa penzi na uchungu hutokea.

Mwanzo huanza kwa pupa kama wana mashindano shati kule blauzi huku, suruali pale sketi hapo vichupi vinarushwa vinakoangukia havijulikani.

Niseme ukweli wanaume ni wastaarabu sana hata akikuta bwawa la mtera basi atajitahidi afunge bao kimya kimya.
Sie wanawake mh, akikutana na kibamia basi kutwa analazimisha kirefuke, atasonya atakunja uso hali ya mapenzi itatoweka yaani mpaka mwanaume anajihisi unyonge.

Akikutana na joka libwelele ndio kabisa anaweza singizia ugonjwa wa tumbo wa ghafla, au akazua ugomvi uso na kichwa wala miguu akavaa akaondoka zake.  Na I love you zinaishia hapo hapo tena wengine yakiwazidi hutoka na taulo mbio kama kafumaniwa kumbe kakutana na kitu mkono babu weee.

Ukipenda boga penda na ua lake ulikuwa unampenda wakati ana nguo zake hukufikiria kuwa akizivua itakuwaje. 

Mambo ujuzi shost ukikuta kibamia kina staili zake ye akaridhika na we pia ukaridhika  tena ukikizoea wala hutataka tena joka libwelele.  Raha ya kibamia hata ukimwi ni ngumu kuupata kwani hakichubui.

Pia hata hilo Joka pia lina staili zake mengine ukubwa wa bure nguvu ndogo  hivyo inatakiwa ujuzi wako tu jinsi ya kulikabili na wote mkatosheka.

Kwa wanaume akikutana na bwawa au mazingira machafu huyo ndio harudi tena, hata simu yako hapokei.

Kuna wengine wana tabia mbaya ya kutangaza maumbile ya mwenzie kama yanauzwa sokoni si ukamnunulie mazuri ni vibaya sana kutoa siri za mwenzio hata kama humtaki tena.

Ushauri wangu kwa wote jaribuni kuvumiliana kwani alivyoumba Mungu hakuna wa kumkosoa na huwezi pata maumbile unayoyataka bali ukipata afadhali basi shikilia, mengine yanazungumzika, la sivyo utazipitia mpaka usahau ulianza na ya vipi.

Ukitaka hayo maujuzi niandikie kwenye MAONI/USHAURI  nitakupatia.