Friday, March 14, 2014

JOKA LIBWELELE NALO MMH

Leo tuangalie jinsi gani ya kukabili maumbile ya mwenzio.


Kimaumbile kila mtu kaumbwa kivyake na hakuna mtu anayefanana na mwenzie lazima kuna tofauti fulani.

Sasa wengi humpenda mtu kabla ya kumjua maumbile yake hasa wanawake huwa tunakutana na surprise nyingi sana.

Humuita  mpenzi kabla ya penzi wengine hupanga hata kuoana, ahadi kem kem, kutwa simu, chatting kila wakati, I love you nyingi sana, hajajua maumbile yake anakisia tuu.

Siku inafika wanapanga kwenda banjua amri ya sita, ndio hapo utamu wa penzi na uchungu hutokea.

Mwanzo huanza kwa pupa kama wana mashindano shati kule blauzi huku, suruali pale sketi hapo vichupi vinarushwa vinakoangukia havijulikani.

Niseme ukweli wanaume ni wastaarabu sana hata akikuta bwawa la mtera basi atajitahidi afunge bao kimya kimya.
Sie wanawake mh, akikutana na kibamia basi kutwa analazimisha kirefuke, atasonya atakunja uso hali ya mapenzi itatoweka yaani mpaka mwanaume anajihisi unyonge.

Akikutana na joka libwelele ndio kabisa anaweza singizia ugonjwa wa tumbo wa ghafla, au akazua ugomvi uso na kichwa wala miguu akavaa akaondoka zake.  Na I love you zinaishia hapo hapo tena wengine yakiwazidi hutoka na taulo mbio kama kafumaniwa kumbe kakutana na kitu mkono babu weee.

Ukipenda boga penda na ua lake ulikuwa unampenda wakati ana nguo zake hukufikiria kuwa akizivua itakuwaje. 

Mambo ujuzi shost ukikuta kibamia kina staili zake ye akaridhika na we pia ukaridhika  tena ukikizoea wala hutataka tena joka libwelele.  Raha ya kibamia hata ukimwi ni ngumu kuupata kwani hakichubui.

Pia hata hilo Joka pia lina staili zake mengine ukubwa wa bure nguvu ndogo  hivyo inatakiwa ujuzi wako tu jinsi ya kulikabili na wote mkatosheka.

Kwa wanaume akikutana na bwawa au mazingira machafu huyo ndio harudi tena, hata simu yako hapokei.

Kuna wengine wana tabia mbaya ya kutangaza maumbile ya mwenzie kama yanauzwa sokoni si ukamnunulie mazuri ni vibaya sana kutoa siri za mwenzio hata kama humtaki tena.

Ushauri wangu kwa wote jaribuni kuvumiliana kwani alivyoumba Mungu hakuna wa kumkosoa na huwezi pata maumbile unayoyataka bali ukipata afadhali basi shikilia, mengine yanazungumzika, la sivyo utazipitia mpaka usahau ulianza na ya vipi.

Ukitaka hayo maujuzi niandikie kwenye MAONI/USHAURI  nitakupatia.

No comments:

Post a Comment

Toa maoni yako