am back baada ya kupata email, na sms nyiingi za kurudisha hii blog hatimaye nimekubaliana nanyi sasa mtaendelea kupata mada za mahusiano kama kawa.
kwa wale wapya karibuni sana humu ni mada za kujenga ndoa zenu itifaki inazingatiwa mtaelimik, mtaburudika na mtafurahi yaah i promise that.
kwa mwenye maswali, maoni au ushauri kuhusu mahusiano naomba aulize kwa email, notification au sms.
kama litahusu jamii nitalijibu humu laa masuala ya binafsi nitamjibu private.
tupo katika kuelimishana na kukumbushana pale penye mapungufu
enjoy it
Johari Orig back again to you
kwa wale wapya karibuni sana humu ni mada za kujenga ndoa zenu itifaki inazingatiwa mtaelimik, mtaburudika na mtafurahi yaah i promise that.
kwa mwenye maswali, maoni au ushauri kuhusu mahusiano naomba aulize kwa email, notification au sms.
kama litahusu jamii nitalijibu humu laa masuala ya binafsi nitamjibu private.
tupo katika kuelimishana na kukumbushana pale penye mapungufu
enjoy it
Johari Orig back again to you