Tuesday, March 11, 2014

Wazazi mnayajua haya

Watoto wapo likizo tumia japo dakika 30 kuongea na mwanao hali ni mbaya




Vijana wadogo hawajajua hata maisha ni nini hayo mapenzi ya jinsia mbili hawajayafaidi hata robo wanaenda kuanzisha ya jinsia moja Mungu wangu.

Hivi natafuta nani aliyesababisha haya



ukimuuliza mzazi analia na utandawazi,
ukimuuliza Mwalimu analia na mzazi
ukiiuliza jamii wanasema mambo ya digital
wote wana makosa


Hebu tuanze na wazazi
asilimia nyingi hawana muda na mafundisho ya watoto wao, Baba kazini kurudi usiku Mama kazini kurudi jioni.
Mama akifika nyumbani humuuza dada wa kazi je watoto wamekula, wameoga, walikwenda twishen akiambiwa ndio basi huwaona watoto wasikivu sana tena huwapa na zawadi.



Tena wazazi wengine hufanya matendo ya aibu mbele za watu hadharani na watoto wadogo wakiwepo wakiona dhahiri shahiri.

Baba akirudi huuliza mwl kasema nini shule kama mchango anatoa wachache wanaopitia hata daftari za mtoto, ye anachojua ni ada na mahitaji ya shule ya mtoto.

Lakini hawakumbuki huyu au hawa watoto wanatakiwa wahubiriwe nini maisha, wawe na tabia zipi, watakuja kuwa nani mbele ya safari tena unawapigia na mifano hai ya watoto watukutu nini kimewakuta na wakiwa watoto bora watafanana na nani.  huo muda wazazi wa sasa hatuna.

Mwalimu
Zamani mwl. alikuwa ni mzazi wa pili kiasi ukiwa naye unahesabu kama una mzazi wako na hata ukifanya kosa lazima atakuonya na ukizidi anawaita wazazi wako ili wamsaidie kukuonya kwa kosa unalofanya, na usiposikia unafukuzwa shule.
Sasa mmh waalimu baadhi yao wanajali maslahi yao na nimeshuhudia shule moja hapa dar st. fulani [jina kapuni]  mwl. kaachishwa kazi kwa kumfuatilia mwanafunzi mwenye utovu wa nidhamu, akiambiwa alipaswa amheshimu yule mwanafunzi kwani ndie analeta mshahara wake.


Sasa watoto wetu wanaokwenda ma boarding ndio kabisa jamani kuna tabia za ajabu sana usagaji ma ushoga wanauanzia huko.

Haya jamii nayo
Badala ya kumlea huyu mtoto hasa wanaume mnaovivua chupi vitoto vya kike mnapata raha gani kwao jamani.
Mzazi mwenzio kagharamika masikini anajinyima kula na kuvaa vizuri kwa ajili ya huyo mtoto unaamua na makusudi kumuharibia mwanaye kwa pesa na magari yako ya kifahari, tena nawe umezaa na una watoto wa kike hufikirii je ukimkuta mwanao ndio anafanyiwa hayo utajisikiaje.

Ukisha mharibia masomo yake unamtelekeza nyumbani nao kwa uchungu wa pesa zao na fedheha wanamfukuza nyumbani basi maisha na ndoto zake vinaishia hapo masikini.

Leo tunakataa ushoga kwa maneno lakini kivitendo umejaa tele hao wasagaji ndio usiseme yaani akili zetu ni kama yule anaejisaidia porini uso, anauelekeza njiani ili watu wasimchungulie mgongo anauelekeza porini hajui kama akitokea simba nyoka au mnyama yoyote wa hatari aka ye hataki watu tu wamuone.

Tukumbuke SODOMA NA GOMOLA waliangamizwa na Mungu sehemu ile mpaka leo haioti hata nyasi.

Kuna haja ya kumrudia Mungu kila mtu kwa imani yake tena na watoto wake awasisitize elimu ya dini labda tutaokoa vizazi vyetu jamani.


Toa maoni yako

Monday, March 10, 2014

Baadhi ya Wanaume ni kuku wa kienyeji

Kwa maoni ya wasomaji wangu wapendwa wameomba niirudie post hii sijui kwa nini

Hebu tuangalie hawa wanaume wa tabia hii.


Mwanaume umeoa mke na labda mmeshapata watoto kisha kunakuwa na house girl au shemeji.

Mkeo ni hodari mashaallah anakufanyia mambo yote muhimu, kitandani ndio usiseme kafundwa akafundika anakupa mapenzi mazito mpaka unaomba pooo.



Tena basi hana hiyana muda wowote ukitaka penzi anakupa bila wasi wasi.

kwa kawaida hasa kwa ma house girl wengi huwa washamba hawajajua mambo ya kujipendezesha kama mtoto wa kike atakiwavyo.   Tena sometime walikotoka hata mambo ya kuoga vizuri hajui labda maji yalikuwa mail kadhaa.  Tena wengine wanakuwa na umri mdogo sana.





Ndio we na mkeo mnaanza kazi ya kumuelekeza usafi na kazi za ndani, dukani wapi, sokoni n.k
Binti huyu anakuwa na adabu sana tena kwenye zile mila za kupiga  magoti ndio kabisa hata kukusogelea wewe baba ndani ya nyumba ni kazi.

Ukirudi kazini ukikaa sebuleni yeye yulee chumbani au jikoni hathubutu kabisa kukaa pale ulipo.

Kinachonishangaza we baba mtu mzima na akili zako timamu usiku unamwacha mkeo chumbani kwenu kwenye kitanda kizuri mashuka safi huenda mkeo ni maridadi amekinyunyizia marashi unaenda kwa kile kitoto.




Jamani unaenda tafuta mapenzi gani anayoyajua yule mtoto au ni uharibifu hufikirii kama ni mwanao angefanyiwa vile ungejisikiaje. Tena unamjaza mimba na unakuwa wa kwanza kunfukuza nyumbani, aende wapi na ujauzito ule aulee nani, alikotoka huenda walikuwa wanamtegemea akipata kamshahara awatumie na wao.  Sio ndio kutengeneza machangu na watoto wa mtaani.

Tafadhalini jamani hasa nyie wenye pesa zenu wengine utamuona sehemu ya starehe ana katoto kadogo kama mjukuu wake anakapa denda uuh huwa natamani kufa Mungu anistirie wanangu jamani nikikukuta naye nakulamba risasi.

Mtoto wa mwenzio ni wako jamani tuwahurumie maisha ya dhiki yanawatosha kuwa adhabu kwao.






Toa maoni yako

Sunday, March 9, 2014

Raha ya mapenzi uyafurahie

habari zenu wapendwa,



Asilimia nyingi sana watu huwa tunamlaumu aliyefumaniwa kuwa ni msaliti, hajatulia, malaya na anakosa hadhi machoni pa jamii.

Lakini hatuangalii upande wa pili je huyu mpaka kufikia kuchepuka amekosa nini ndani kwake.

Nakubali kuna wengine tamaa zao za fedha au za kimwili hawatosheki na wanachopata.

Lakini kuna wengine wanadhulumiwa haki zao za kitandani wakavumilia mpaka wakachoka hasa wanawake.

Tendo la ndoa limekaa kama madawa ya kulevya, ukilianza linagota kwenye akili na mwili wote unakuwa na mshawasha fulani.

Mshawasha huo ukianza akili haifanyi kazi nyingine tena itakuwa inawaza mapenzi tuu mpaka ipate ndio inatulia na hii hutokea sana kwa wanaume.

Kila mtu ana mazoea yake kwenye mapenzi wengine wamezoea mara moja kwa wiki, siku mbili, kila siku kwa siku mara mbili, wengine mpaka magoli manne wengine kamoja tu anakoroma.

Sasa inatakiwa uchague mpenzi anaendana nawe kwenye hiyo mechi,  sio we unataka kila siku unakuwa na mpenzi anaetaka mara moja kwa wiki kama hamkuachana basi lazima utachepuka.

kwanza kwenye romance wanaume wengi huwa mna haraka unatakiwa umuandae tena kwa anavyopenda yeye mfano unakazana kumpa ulimi kumbe yeye mshawasha wake upo kwenye maziwa, au unakazana kumtekenya kumbe mwenzio anapenda umrambe kama nyoka.  

Ukiona amelainika angalia na kwa bibi nako kama njia inaruhusu fuso lipite?  sio kwenye uchochoro unakazana tu kupeleka jua akisikia maumivu kidogo tu starehe yote ya mapenzi huishia hapo hapo, ndio maana inasisitizwa sana kufyeka msitu kwani nao huchangia sana kuharibu mapenzi maana nyasi moja tu hukata kama wembe.

Wanawake wengi hawawezi kusema wanataka nini sijui ni aibu au nini sasa mwanaume unatakiwa ubahatishe yaani unamgusa kila kiungo chenye mshawasha kisha angalia wapi anaguswa zaidi.  Au ye mwenyewe huenda akakuambia labda umshike kiuno usipuuze mshike huku ukikichezea sio ushike kama kinataka kuanguka huenda ndio mshawasha wake upo hapo.

Kabla ya kumaliza mwanaume muulize mpenzio kama yupo tayari mmalize wote au hata akitangulia we ukamalizia kwani akiwahi kumaliza mwanamke haina shida we pia utamaliza lakini we ukimaliza ni shida sana kwa mwanamke kwani wanaume wengi wanakuwa hawana uwezo wa kumsimamisha fupi bali ndio anazidi kulala.

Nawe mwanamke kama utatangulia kumaliza inabidi ujitahidi kuficha uchovu wako ili mpenzio nae apige goli zuri kwani ukimuonyesha dalili kuwa umemaliza basi ye nguvu ya kumaliza vizuri anakuwa hana kwa sababu anategemea masham sham yako ili mashetani yapande na kisha yatoe salaam.

msipoyaweza haya kati yenu mmoja kuchepuka ni kawaida sana kwa sababu raha ya mapenzi uyafurahie sio ufanye ili mradi utimize wajibu hata mzuka hauji.


yafanye mapenzi yawe asali na sio muarobaini.

Friday, March 7, 2014

SIKU YA WANAWAKE DUNIANI



Mama Salma Kikwete 
Ni mfano bora wa wanawake kwa jinsi anavyowapigania watoto wa kike


Nawatakia heri wanawake wooote duniani katika kusherehekea siku ya WANAWAKE DUNIANI
Ingependeza baba ukampikia mama akajisikia kula chakula chako jamani, ukamtoa out, akafurahia vizuri hii siku yake.

WAKATI MWANAMKE WA MJINI  ANAPATA MUDA WA KUFANYA HAYA


Kuvaa nguo za heshima kwake joto


wengine hufikia kumkosoa Mungu wakaamua kujiumba upya mpaka wakawa kama hivi.


Haya hebu tumwangalie mwanamke wa kijijini na hii SIKU YA WANAWAKE  kama ina maana kwake kweli.

asubuhi na mapema ye safari ya shamba inaanza



shambani anafanya kazi jua/mvua yake na mtoto mgongoni


akitoka shamba lazima abebe kuni mtoto mgongoni jembe mkononi


mtoto anaumwa ajue jinsi gani ya kumtibu


maji anafuata maili kadhaa




vikiiva shambani avune



kisha muuzaji wa mazao ni yeye

OLE WAKE PESA ISIONEKANE NYUMBANI



anapigwa kama mwizi


anarushwa huko na mateke kama yuko vitani


wengine wanafikia mpaka kupoteza viungo vyao masikini


 Si ajabu ukakuta ana ndala kama hizi mwenyewe ndio anaenda kuuzia mazao




SERIKALI NA WADAU MBALI MBALI MSISHEREHEKEE HII SIKU KWENYE MA UKUMBI YA KIFAHARI MWANAMKE HALISI NI HUYU ANAETESEKA HUKO VIJIJINI

MAANA KUNA SHEREHE KILIMANJARO HOTEL SIJUI DIAMOND JUBILEE, HIVI HUYU MWANAMKE WA KIJIJINI ATAPATA JAPO KUSIKIA KITAKACHO ONGELEWA?

TUSIDANGANYANE


Toa maoni yako

Thursday, March 6, 2014

Mwanamke ajuaye mahaba

Assalaam alaykum wapendwa,

Baada ya kusema sifa za mwanaume wengi wenu mmeniomba niseme na mwanamke haya tuwemo basi

Mwanamke ajuaye mahaba huwa sifa hizi







  • huwa  hana tamaa na vitu visivyo na lazima.
  • hutunza siri na mali ya mumewe.
  • huridhika na kipato cha mumewe hata kama kidogo kiasi gani.
  • hushukuru kwa chochote anachopatiwa na mumewe hata kama hajakipenda.
  • huomba msamaha pindi akoseapo na kuahidi hatorudia tena kwa lugha laini na upole.

  • kila siku huhangaika kujipamba kwa ajili ya mumewe ikifika jioni mwenyewe shurti apambe chumbani kwake, ajipambe mwenyewe kwa  kanga nzuri na hasa ikiwa ina weupe, udi, pafyumu, poda, wanja, lipstik, nywele unazibana mtindo wa kupendeza, macho unaweka eye line, n.k 

  • Bwana akirudi kazini hupokelewa mzigo, pole na kiss kidogo kisha akampambua nguo zake, akaenda muogesha mwenyewe maruhani yakipanda huko bafuni aah anampa kigoli kimoja aondoe uchovu. Wakitoka huko anamkaribisha mezani na hapo anakuwa ameandaa tunda kwanza ampe mumewe kisha ndio ampe chakula tena tonge la kwanza shurti alishwe kisha aendelee mwenyewe.   kama kuna samaki basi mke humchambulia miba mumewe, huku akimuongelesha maneno mazuri ya mahaba.

  • Kitandani mwanamke huyu hujituma kwa ujuzi na maarifa yote kwani hasubiri kuguswa mwenyewe hujishughulisha kwa makiss, akamgusa mumewe kunako, akachezea panapo, huku akimbembeleza mumewe kwa mahaba, macho huyarembua kama mdoli, mwili wake huwa laini kila ashikwapo hunyumbulika kama ngano.

  • kwenye majamboz huwa mwepesi wa kubadili style, kiuno kama kafunga feni, huku akilalamika kwa utamu wa mahaba na kichozi cha uchokozi humtoka.
  • Hashushi mlima mpaka aone mumewe ameridhika na kumuomba naye afanye hivyo, kisha humlaza mumewe kifuani apumzike huku akimbusu na kumpa pole.
  • humshukuru mumewe kwa mahaba aliyompa na kisha humsafisha na kwenda oga tayari kwa kulala au kitu kingine 
  • Hata audhiwe na vipi na familia ya mumewe hawezi kumwambia mumewe kwani anajua ataharibu udugu wa mumewe na kuharibu furaha yao ya siku hiyo na hataweza faidi mapenzi.
  • hulegeza sauti pindi aongeapo na mumewe tena huwa mpole na msikivu.
  • asubuhi humuandalia mpenzi/mumewe nguo za kazini,viatu na sox kisha humuamsha taratibu  kwa mahaba ili mumewe asichelewe kazini.
  • anapokuwa na shida ya pesa huomba kistaarabu na akiambiwa hazipo au asubiri wala hanuni.
  • hana muda wa kupiga umbeya wala safari zisizo na kichwa wala miguu muda wote huutumia kuandaa chakula na mahitaji ya mumewe pindi arudi kazini.   


 



  • sala na maombi yake huombea ndoa yao na watoto wao wawe salama na wadumu milele.
  • Kila siku ndoa yako itakuwa mpyaaa na wala kidudumtu haingii
ukiyafanya haya mwanaume habanduki wala mzizi hauna nafasi kwako.

ni hayo tuu 

Tuesday, March 4, 2014

MWANAUME MJUZI WA MAHABA

habari zenu wapendwa 

Leo tuangalie jinsi wanaume wanaojua kupenda jamani anakupa raha mpaka unahisi wazimu.


  • humpenda mkewe/mpenziwe wazi wazi wala hafichi mahaba yake hupenda watu wajue kuwa yeye anampenda.
  • huwa mkweli na muwazi siku zote na akikosea huomba msamaha kwa upole.
  • huwa mpole kwa mke/mpenzi wake hata kama kwenye jamii ni mkali na wanamuogopa.
  •  huwa na huruma sana mfano mkewe akiumwa huwa   anahaha kutaka mkewe/mpenzi wake arejee katika hali ya uzima.
  • hufanya vitu vinavyomfurahisha mkewe/mpenzi wake kama kurudi nyumbani mapema, zawadi, kumtoa out n.k.
  • humsaidia kazi za nyumbani ili mkewe/mpenziwe asichoke kupita kiasi.
  • humfanya kuwa malkia ndani ya nyumba kwani mkewe/mpenziwe hung'ara  muda wote hata mbele za watu.

  • ni mtundu kitandani katika kumuandaa mkewe/mpenziwe na hana papara ya tendo mpaka aone amewiva maji anayaita mma.

  • hujitahidi kwenye majambozi kumridhisha mkewe/mpenziwe mpaka amalize naye ndio hushusha mlima.
  • huwa na mahaba mazito kiasi hata mkewe/mpenziwe atongozwe na nani huwa hana shida ya michepuko.
  • hupenda kuwa baba wa familia bora na si bora familia.

  • hufanya kazi kwa bidii kwa ajili ya familia yake na hajishughulishi na michepuko.
  • daima hupenda familia yake iishi maisha mazuri na sio ya tabu aliyopata yeye.
Sio mwanaume mzuri kwa muonekano ndani ya nyumba yako wanakuona kama shetani vile maana huna unachofurahisha hata kimoja.





Toa maoni yako, 

Sunday, March 2, 2014

Hakuna starehe duniani kama ya mapenzi

Assalaam alaykum wapendwa wasomaji wangu,

Baada ya makavu live ya mada zilizopita naomba leo niwe msikilizaji wenu nini mnataka niongeze/nipunguze, msiniambie tu nipunguze ukali wa maneno. Maana ugonjwa hauponi bila dawa chungu.
naruhusu comment, au nenda kwenye maoni na ushauri pote nitapata utakachoniandikia, bila ya wewe mi sisongi.



Haya leo nawapa raaaha sana 

Majambozi

Jamani mkiwa kwenye majambozi jitahidini kujistiri wakati wa kushusha ule mlima hasa kwenye vyumba vya uswazi.

Maana kuna style zingine mwanamke akikupa mmh linakutoka yowe kama umeangukiwa na ukuta haaahaaa.
Msifikiri tena kuleee aku mi sitaki tafsiri zenu wabongo pale pale aliporuhusu Mungu kule kwa shetani wala mi mgeni kabisa na wala sina habari nako.

                                                     
           


Mruhusu mwanandani akushike atakapo mwache autawale mwili wako afanye atachotaka, popote kama  kupeleka ulimi we aaah ndio unazidi kunyumbulika tuu.  atapopeleka mkono kazi yako kumsapoti kwa maneno ya mahaba huku nawe mkono wako unatalii,  akaa wenyewe duniani mnakuwa peke yenu, mapenzi raahaa jamani.
Hapo hakuna anae waza umasikini, shida sijui vyote vinakaa pembeni tena hata kama mnalalia mkeka raha ndio inazidi wala haipungui.

                                            

Mwanamke style eeh, mara umebinuka kama unacheza mieleka, mara umechora pembe tatu, kisha ukamalizia na sarakasi miguu ikaja usoni mbona atakutajia jina la uji haaaahaaaa.

Sio kila siku kifo cha mende kelele kama unafukuza mwizi hayo wala si mambo babu haa maharagwe kila siku hainogi.

Mpokee taratibu huku ukimchumu na kumpa pole kwa safari nzito, mtulize kifuani mwenyewe apumue kwa raha zake huku ukimtuliza kama unabembeleza mtoto alale, mwanamke manjonjo alaaaa.

             

Mwenyewe kama muungwana utasikia ahsante mke/mpenzi wangu basi na we tena unajibu kwa mahaba mazito kiss kidogo ishara kuwa umepokea ahsante yake.



Ila hakikisha mmekula na maji ya kunywa yawe karibu,  maana mkitoka hapo njaa yake na kiu sio ya kitoto mtafunguza vibanda vya chips chezea penzi zito weye, 

Ndio ukakuta mtu kanasa kwenye urimbo watu wanasemaa  wala hashughuliki, ndugu wachukie mwanaume ndio kwanza katia pamba masikioni.
Miaka inakatika lakini nyie kila siku ndio kwanza mmeonana hakuna anayemchoka mwenzie.




hakuna dawa kwenye mapenzi, mambo ujuzi babu eeh.

Leo maneno lainiii sitaki kukera mtu miye.

Toa maoni yako