Friday, March 7, 2014

SIKU YA WANAWAKE DUNIANI



Mama Salma Kikwete 
Ni mfano bora wa wanawake kwa jinsi anavyowapigania watoto wa kike


Nawatakia heri wanawake wooote duniani katika kusherehekea siku ya WANAWAKE DUNIANI
Ingependeza baba ukampikia mama akajisikia kula chakula chako jamani, ukamtoa out, akafurahia vizuri hii siku yake.

WAKATI MWANAMKE WA MJINI  ANAPATA MUDA WA KUFANYA HAYA


Kuvaa nguo za heshima kwake joto


wengine hufikia kumkosoa Mungu wakaamua kujiumba upya mpaka wakawa kama hivi.


Haya hebu tumwangalie mwanamke wa kijijini na hii SIKU YA WANAWAKE  kama ina maana kwake kweli.

asubuhi na mapema ye safari ya shamba inaanza



shambani anafanya kazi jua/mvua yake na mtoto mgongoni


akitoka shamba lazima abebe kuni mtoto mgongoni jembe mkononi


mtoto anaumwa ajue jinsi gani ya kumtibu


maji anafuata maili kadhaa




vikiiva shambani avune



kisha muuzaji wa mazao ni yeye

OLE WAKE PESA ISIONEKANE NYUMBANI



anapigwa kama mwizi


anarushwa huko na mateke kama yuko vitani


wengine wanafikia mpaka kupoteza viungo vyao masikini


 Si ajabu ukakuta ana ndala kama hizi mwenyewe ndio anaenda kuuzia mazao




SERIKALI NA WADAU MBALI MBALI MSISHEREHEKEE HII SIKU KWENYE MA UKUMBI YA KIFAHARI MWANAMKE HALISI NI HUYU ANAETESEKA HUKO VIJIJINI

MAANA KUNA SHEREHE KILIMANJARO HOTEL SIJUI DIAMOND JUBILEE, HIVI HUYU MWANAMKE WA KIJIJINI ATAPATA JAPO KUSIKIA KITAKACHO ONGELEWA?

TUSIDANGANYANE


Toa maoni yako

No comments:

Post a Comment

Toa maoni yako