Sunday, March 2, 2014

Hakuna starehe duniani kama ya mapenzi

Assalaam alaykum wapendwa wasomaji wangu,

Baada ya makavu live ya mada zilizopita naomba leo niwe msikilizaji wenu nini mnataka niongeze/nipunguze, msiniambie tu nipunguze ukali wa maneno. Maana ugonjwa hauponi bila dawa chungu.
naruhusu comment, au nenda kwenye maoni na ushauri pote nitapata utakachoniandikia, bila ya wewe mi sisongi.



Haya leo nawapa raaaha sana 

Majambozi

Jamani mkiwa kwenye majambozi jitahidini kujistiri wakati wa kushusha ule mlima hasa kwenye vyumba vya uswazi.

Maana kuna style zingine mwanamke akikupa mmh linakutoka yowe kama umeangukiwa na ukuta haaahaaa.
Msifikiri tena kuleee aku mi sitaki tafsiri zenu wabongo pale pale aliporuhusu Mungu kule kwa shetani wala mi mgeni kabisa na wala sina habari nako.

                                                     
           


Mruhusu mwanandani akushike atakapo mwache autawale mwili wako afanye atachotaka, popote kama  kupeleka ulimi we aaah ndio unazidi kunyumbulika tuu.  atapopeleka mkono kazi yako kumsapoti kwa maneno ya mahaba huku nawe mkono wako unatalii,  akaa wenyewe duniani mnakuwa peke yenu, mapenzi raahaa jamani.
Hapo hakuna anae waza umasikini, shida sijui vyote vinakaa pembeni tena hata kama mnalalia mkeka raha ndio inazidi wala haipungui.

                                            

Mwanamke style eeh, mara umebinuka kama unacheza mieleka, mara umechora pembe tatu, kisha ukamalizia na sarakasi miguu ikaja usoni mbona atakutajia jina la uji haaaahaaaa.

Sio kila siku kifo cha mende kelele kama unafukuza mwizi hayo wala si mambo babu haa maharagwe kila siku hainogi.

Mpokee taratibu huku ukimchumu na kumpa pole kwa safari nzito, mtulize kifuani mwenyewe apumue kwa raha zake huku ukimtuliza kama unabembeleza mtoto alale, mwanamke manjonjo alaaaa.

             

Mwenyewe kama muungwana utasikia ahsante mke/mpenzi wangu basi na we tena unajibu kwa mahaba mazito kiss kidogo ishara kuwa umepokea ahsante yake.



Ila hakikisha mmekula na maji ya kunywa yawe karibu,  maana mkitoka hapo njaa yake na kiu sio ya kitoto mtafunguza vibanda vya chips chezea penzi zito weye, 

Ndio ukakuta mtu kanasa kwenye urimbo watu wanasemaa  wala hashughuliki, ndugu wachukie mwanaume ndio kwanza katia pamba masikioni.
Miaka inakatika lakini nyie kila siku ndio kwanza mmeonana hakuna anayemchoka mwenzie.




hakuna dawa kwenye mapenzi, mambo ujuzi babu eeh.

Leo maneno lainiii sitaki kukera mtu miye.

Toa maoni yako

No comments:

Post a Comment

Toa maoni yako