Tuesday, March 4, 2014

MWANAUME MJUZI WA MAHABA

habari zenu wapendwa 

Leo tuangalie jinsi wanaume wanaojua kupenda jamani anakupa raha mpaka unahisi wazimu.


  • humpenda mkewe/mpenziwe wazi wazi wala hafichi mahaba yake hupenda watu wajue kuwa yeye anampenda.
  • huwa mkweli na muwazi siku zote na akikosea huomba msamaha kwa upole.
  • huwa mpole kwa mke/mpenzi wake hata kama kwenye jamii ni mkali na wanamuogopa.
  •  huwa na huruma sana mfano mkewe akiumwa huwa   anahaha kutaka mkewe/mpenzi wake arejee katika hali ya uzima.
  • hufanya vitu vinavyomfurahisha mkewe/mpenzi wake kama kurudi nyumbani mapema, zawadi, kumtoa out n.k.
  • humsaidia kazi za nyumbani ili mkewe/mpenziwe asichoke kupita kiasi.
  • humfanya kuwa malkia ndani ya nyumba kwani mkewe/mpenziwe hung'ara  muda wote hata mbele za watu.

  • ni mtundu kitandani katika kumuandaa mkewe/mpenziwe na hana papara ya tendo mpaka aone amewiva maji anayaita mma.

  • hujitahidi kwenye majambozi kumridhisha mkewe/mpenziwe mpaka amalize naye ndio hushusha mlima.
  • huwa na mahaba mazito kiasi hata mkewe/mpenziwe atongozwe na nani huwa hana shida ya michepuko.
  • hupenda kuwa baba wa familia bora na si bora familia.

  • hufanya kazi kwa bidii kwa ajili ya familia yake na hajishughulishi na michepuko.
  • daima hupenda familia yake iishi maisha mazuri na sio ya tabu aliyopata yeye.
Sio mwanaume mzuri kwa muonekano ndani ya nyumba yako wanakuona kama shetani vile maana huna unachofurahisha hata kimoja.





Toa maoni yako, 

No comments:

Post a Comment

Toa maoni yako