Sunday, March 9, 2014

Raha ya mapenzi uyafurahie

habari zenu wapendwa,



Asilimia nyingi sana watu huwa tunamlaumu aliyefumaniwa kuwa ni msaliti, hajatulia, malaya na anakosa hadhi machoni pa jamii.

Lakini hatuangalii upande wa pili je huyu mpaka kufikia kuchepuka amekosa nini ndani kwake.

Nakubali kuna wengine tamaa zao za fedha au za kimwili hawatosheki na wanachopata.

Lakini kuna wengine wanadhulumiwa haki zao za kitandani wakavumilia mpaka wakachoka hasa wanawake.

Tendo la ndoa limekaa kama madawa ya kulevya, ukilianza linagota kwenye akili na mwili wote unakuwa na mshawasha fulani.

Mshawasha huo ukianza akili haifanyi kazi nyingine tena itakuwa inawaza mapenzi tuu mpaka ipate ndio inatulia na hii hutokea sana kwa wanaume.

Kila mtu ana mazoea yake kwenye mapenzi wengine wamezoea mara moja kwa wiki, siku mbili, kila siku kwa siku mara mbili, wengine mpaka magoli manne wengine kamoja tu anakoroma.

Sasa inatakiwa uchague mpenzi anaendana nawe kwenye hiyo mechi,  sio we unataka kila siku unakuwa na mpenzi anaetaka mara moja kwa wiki kama hamkuachana basi lazima utachepuka.

kwanza kwenye romance wanaume wengi huwa mna haraka unatakiwa umuandae tena kwa anavyopenda yeye mfano unakazana kumpa ulimi kumbe yeye mshawasha wake upo kwenye maziwa, au unakazana kumtekenya kumbe mwenzio anapenda umrambe kama nyoka.  

Ukiona amelainika angalia na kwa bibi nako kama njia inaruhusu fuso lipite?  sio kwenye uchochoro unakazana tu kupeleka jua akisikia maumivu kidogo tu starehe yote ya mapenzi huishia hapo hapo, ndio maana inasisitizwa sana kufyeka msitu kwani nao huchangia sana kuharibu mapenzi maana nyasi moja tu hukata kama wembe.

Wanawake wengi hawawezi kusema wanataka nini sijui ni aibu au nini sasa mwanaume unatakiwa ubahatishe yaani unamgusa kila kiungo chenye mshawasha kisha angalia wapi anaguswa zaidi.  Au ye mwenyewe huenda akakuambia labda umshike kiuno usipuuze mshike huku ukikichezea sio ushike kama kinataka kuanguka huenda ndio mshawasha wake upo hapo.

Kabla ya kumaliza mwanaume muulize mpenzio kama yupo tayari mmalize wote au hata akitangulia we ukamalizia kwani akiwahi kumaliza mwanamke haina shida we pia utamaliza lakini we ukimaliza ni shida sana kwa mwanamke kwani wanaume wengi wanakuwa hawana uwezo wa kumsimamisha fupi bali ndio anazidi kulala.

Nawe mwanamke kama utatangulia kumaliza inabidi ujitahidi kuficha uchovu wako ili mpenzio nae apige goli zuri kwani ukimuonyesha dalili kuwa umemaliza basi ye nguvu ya kumaliza vizuri anakuwa hana kwa sababu anategemea masham sham yako ili mashetani yapande na kisha yatoe salaam.

msipoyaweza haya kati yenu mmoja kuchepuka ni kawaida sana kwa sababu raha ya mapenzi uyafurahie sio ufanye ili mradi utimize wajibu hata mzuka hauji.


yafanye mapenzi yawe asali na sio muarobaini.

1 comment:

  1. mada ya leo imenikuna sana kwa kweli big up

    ReplyDelete

Toa maoni yako