Thursday, January 23, 2014
NGUVU ZA ................... TALK ABOUT LOVE
Deo wa Moshi
Dada mi naomba unishauri mi sio mwelewa sana wa mambo ya mapenzi, nina miaka 27,
nikiwa na demu wangu yaani naishia moja tuu mpaka kaanzisha ugomvi home kuwa nina demu mwingine, nifanyeje
JIBU
Pole kaka kwa matatizo hayo nasikitikita mbona ni kijana mdogo sana inakuwaje?
Hebu kama una mawazo punguza kisha onesha kujali uwapo kwenye majamboz, uambie moyo wako kuwa huyo uliyenae ndie alpha na omega huna mwingine unaempenda zaidi yake.
kisha jaribu kutumia muda kidogo katika maandalizi ya kuingia kwenye tendo,
Pia tahadhari na kuiga mambo ya porn kwani mwanaume mishipa ya nguvu za kiume ipo mwishoni na ni myembamba sana hivyo unapomruhusu mwanamke akunyonye akitumia meno huwa anakata ile mishipa taratibu mwishowe unakuwa mbete mbete.
Pia kinywa au sehemu ya nyuma ina joto kali sana kuliko ilivyokadiriwa na Muumba hivyo kama ukijizoeza hizo sehemu mbili kutumia basi una hatari ya kupoteza nguvu mapema sana kuliko unavyotarajia, na hata ukimwingilia demu sehemu ya kawaida basi hutahisi raha yoyote na kusababisha usifunge magoli ya haja.
Pia chakula jamani kinachangia sana kupoteza nguvu za kiume, hebu jaribu kula full diet uone, achana na vihepe au mkate hebu kama inawezekana, kisha penda kutafuna muhogo mbichi na karanga mbichi kama demu wako hajakukimbia.
Tafadhali usijaribu kunywa madawa hovyo yatafanya tatizo liwe kubwa badala ya kupungua.
ni hayo tuu.
taa taaa
Toa maoni yako
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
No comments:
Post a Comment
Toa maoni yako